<sup id="2yyyy"></sup>
  • <sup id="2yyyy"><code id="2yyyy"></code></sup>
  • <sup id="2yyyy"></sup>
    <tr id="2yyyy"><blockquote id="2yyyy"></blockquote></tr>
  • 
    
  • <sup id="2yyyy"><code id="2yyyy"></code></sup>
  • <nav id="2yyyy"><cite id="2yyyy"></cite></nav>
  • <tfoot id="2yyyy"><dd id="2yyyy"></dd></tfoot>
  • 免费a级毛片出奶水在线,18禁无遮拦无码国产在线播放 ,2020国产午夜福利久久,成年女人毛片免费观看中文

    人民網(wǎng)首頁

    Maoni

    Mtaalamu wa Ethiopia asema ushirikiano kati ya China na Afrika unaendelea licha ya changamoto mbalimbali

    Mtafiti katika Taasisi ya Elimu ya Sera katika Chuo Kikuu cha Addis Ababa nchini Ethiopia, Balew Demissie amesema, ushirikiano kati ya China na Afrika umeshinda majaribu ya muda katika mazingira ya kimataifa yanayobadilika na kuzidi kusonga mbele. Akizungumza katika mahojiano na Shirika la Habari la China Xinhua siku chache kabla ya Mkutano wa Baraza la Ushirikiano kati ya China na Afrika utakaofanyika wiki hii hapa Beijing, Mtafiti huyo amesema urafiki kati ya pande hizo mbili umeshuhudia mabadiliko mengi ya kihistoria pamoja na changamoto mbalimbali.

    Sudan yasema FOCAC ni jukwaa muhimu kwa China na Afrika kufanya ushirikiano

    Waziri wa Nishati na Petroli wa Sudan Dkt. Mohieddin Naeem Mohamed Saeed amesema, ukweli umethibitisha kuwa Baraza la Ushirikiano kati ya China na Afrika (FOCAC) limehimiza utekelezaji wa miradi mingi muhimu ya miundombinu barani Afrika.

    Mtaalamu wa uchumi wa zamani wa Benki ya Dunia aona China na Afrika ni wenzi katika njia ya kutimiza mambo ya kisasa

    (Picha inatoka CRI) Mkutano wa Mwaka 2024 wa Baraza la Ushirikiano kati ya China na Afrika (FOCAC) utafanyika mjini Beijing, China kuanzia Septemba 4 hadi 6. Mtaalamu wa uchumi wa zamani katika Benki ya Dunia ambaye pia ni mshauri wa serikali ya Kenya Dkt.

    Msomi wa Somalia asema FOCAC ni jukwaa muhimu zaidi kwa China na Afrika kufanya mawasiliano

    (Picha inatoka CRI) Mkutano wa Viongozi wa Baraza la Ushirikiano kati ya China na Afrika (FOCAC) wa mwaka 2024 ambao ni muhimu kwa uhusiano kati ya pande hizo mbili, utafanyika kuanzia Septemba 4 hadi 6 nchini China. Akizungumzia baraza hilo, Msomi wa Somalia Bw.

    Iliyopita1 2 3 Inayofuata
    免费a级毛片出奶水在线
    <sup id="2yyyy"></sup>
  • <sup id="2yyyy"><code id="2yyyy"></code></sup>
  • <sup id="2yyyy"></sup>
    <tr id="2yyyy"><blockquote id="2yyyy"></blockquote></tr>
  • 
    
  • <sup id="2yyyy"><code id="2yyyy"></code></sup>
  • <nav id="2yyyy"><cite id="2yyyy"></cite></nav>
  • <tfoot id="2yyyy"><dd id="2yyyy"></dd></tfoot>