<sup id="2yyyy"></sup>
  • <sup id="2yyyy"><code id="2yyyy"></code></sup>
  • <sup id="2yyyy"></sup>
    <tr id="2yyyy"><blockquote id="2yyyy"></blockquote></tr>
  • 
    
  • <sup id="2yyyy"><code id="2yyyy"></code></sup>
  • <nav id="2yyyy"><cite id="2yyyy"></cite></nav>
  • <tfoot id="2yyyy"><dd id="2yyyy"></dd></tfoot>
  • 免费a级毛片出奶水在线,18禁无遮拦无码国产在线播放 ,2020国产午夜福利久久,成年女人毛片免费观看中文

    Uganda yaadhimisha miaka 62 tangu ipate uhuru

    (Tovuti ya Gazeti la Umma) Oktoba 10, 2024

    Wakati Uganda ikifanya maadhimisho ya miaka 62 tangu ujipatie uhuru kutoka kwa wakoloni wa Uingereza yaliyofanyika katika wilaya ya Busia mashariki mwa Uganda, Rais Yoweri Museveni ametoa wito wa uzalishaji mali, na kusisitiza ongezeko la thamani katika mazao ya kilimo.

    Rais Museveni amesema kuwa tatizo la Afrika na nchi nyingine zilizokuwa makoloni ni kujikita katika kuzalisha malighafi pekee, jambo ambalo limekuwa na madhara kwa bara hilo, akibainisha kuwa Uganda imeongeza thamani ya bidhaa zake kwa makusudi ili kuingiza mapato zaidi yatokanayo na mauzo ya nje.

    Ameongeza kuwa chini ya mipango mbalimbali ya maendeleo ya serikali, asilimia takriban 67 ya wakazi wa Uganda sasa wanashiriki katika uchumi wa fedha.

    Rais Faustin-Archange Touadera wa Jamhuri ya Afrika ya Kati aliyefanya ziara nchini Uganda pia alishiriki kwenye sherehe hizo, akimpongeza Rais Museveni kwa uongozi wake, kwa sababu ameifanya Uganda kuwa nchi nzuri yenye maridhiano ya kitaifa.

    (Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)

    Picha

    免费a级毛片出奶水在线
    <sup id="2yyyy"></sup>
  • <sup id="2yyyy"><code id="2yyyy"></code></sup>
  • <sup id="2yyyy"></sup>
    <tr id="2yyyy"><blockquote id="2yyyy"></blockquote></tr>
  • 
    
  • <sup id="2yyyy"><code id="2yyyy"></code></sup>
  • <nav id="2yyyy"><cite id="2yyyy"></cite></nav>
  • <tfoot id="2yyyy"><dd id="2yyyy"></dd></tfoot>