<sup id="2yyyy"></sup>
  • <sup id="2yyyy"><code id="2yyyy"></code></sup>
  • <sup id="2yyyy"></sup>
    <tr id="2yyyy"><blockquote id="2yyyy"></blockquote></tr>
  • 
    
  • <sup id="2yyyy"><code id="2yyyy"></code></sup>
  • <nav id="2yyyy"><cite id="2yyyy"></cite></nav>
  • <tfoot id="2yyyy"><dd id="2yyyy"></dd></tfoot>
  • 免费a级毛片出奶水在线,18禁无遮拦无码国产在线播放 ,2020国产午夜福利久久,成年女人毛片免费观看中文

    Wanafunzi 74 walazwa hospitali kutokana na kula chakula kinachohisiwa kuwa na sumu Afrika Kusini

    (CRI Online) Oktoba 11, 2024

    Idara ya afya ya Jimbo la Gauteng nchini Afrika Kusini imesema, wanafunzi 74 wa eneo la Rand Magharibi jimboni humo wanapatiwa matibabu kufuatia kula chakula kinachohisiwa kuwa na sumu jana siku ya Alhamisi.

    Idara hiyo imesema wanafunzi wa kike takriban 74 kutoka Shule za Sekondari za Fochville, Badirile na ya Ufundi Stadi ya Wedela wameumwa tumbo na kuharisha waliposhiriki kwenye kambi ya mafunzo.

    Taarifa iliyotolewa na idara hiyo imesema wanafunzi wote wanaoumwa wamepelekwa hospitalini kwa ajili ya kuchunguzwa zaidi, na wengi wao sasa wana hali nzuri.

    Katika siku za karibuni Afrika Kusini imekuwa ikishuhudia matukio mengi ya sumu kwenye chakula miongoni mwa watoto. Wikiendi iliyopita, watoto watano walifariki dunia kwa kula chakula kilichohisiwa kuwa na sumu huko Naledi, Johannesburg.

    Siku ya Jumatano, wanafunzi 35 kutoka Malamulele, Jimbo la Limpopo, walipelekwa hospitalini kufuatia kula chakula kilichohisiwa kuwa na sumu.

    (Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

    Picha

    免费a级毛片出奶水在线
    <sup id="2yyyy"></sup>
  • <sup id="2yyyy"><code id="2yyyy"></code></sup>
  • <sup id="2yyyy"></sup>
    <tr id="2yyyy"><blockquote id="2yyyy"></blockquote></tr>
  • 
    
  • <sup id="2yyyy"><code id="2yyyy"></code></sup>
  • <nav id="2yyyy"><cite id="2yyyy"></cite></nav>
  • <tfoot id="2yyyy"><dd id="2yyyy"></dd></tfoot>