<sup id="2yyyy"></sup>
  • <sup id="2yyyy"><code id="2yyyy"></code></sup>
  • <sup id="2yyyy"></sup>
    <tr id="2yyyy"><blockquote id="2yyyy"></blockquote></tr>
  • 
    
  • <sup id="2yyyy"><code id="2yyyy"></code></sup>
  • <nav id="2yyyy"><cite id="2yyyy"></cite></nav>
  • <tfoot id="2yyyy"><dd id="2yyyy"></dd></tfoot>
  • 免费a级毛片出奶水在线,18禁无遮拦无码国产在线播放 ,2020国产午夜福利久久,成年女人毛片免费观看中文

    Wataalamu wa teknolojia watoa wito wa juhudi za pamoja kuimarisha usalama wa mtandaoni barani Afrika

    (CRI Online) Oktoba 17, 2024

    Wataalamu wa mambo ya kidijitali wanaoshriki kwenye Jukwaa la Usalama wa Mtandaoni la Afrika Mwaka 2024 lililoanza jana Jumatano katika mji mkuu wa Rwanda, Kigali, wametoa wito wa juhudi za pamoja ili kulinda miundombinu ya kidijitali barani Afrika dhidi ya ongezeko la matishio ya mtandaoni duniani.

    Akizunguma katika mkutano huo, Mwenyekiti wa Jukwaa hilo, William Baraza amesisitiza kuwa, uratibu kati ya nchi za Afrika ni muhimu katika kukabiliana na ongezeko la matishio ya mtandaoni yanayolenga serikali na wafanyabiashara katika bara hilo.

    Waziri wa Teknolojia ya Mawasiliano na Uvumbuzi wa nchini Rwanda, Paula Ingabire ametoa wito wa kuwa na sera mwafaka za usalama wa mtandaoni barani Afrika ili kuondoa pengo la ujuzi linalorudisha nyuma ukuaji wa kidijitali katika bara hilo.

    Pia amesisitiza haja ya juhudi za pamoja ili kwa ufanisi kukabiliana na matishio ya usalama wa mtandaoni na kuhakikisha mustakabali wa baadaye wa Afrika ambao ni salama na jumuishi.

    (Wahariri wa tovuti:Song Ge,Renato Lu)

    Picha

    免费a级毛片出奶水在线
    <sup id="2yyyy"></sup>
  • <sup id="2yyyy"><code id="2yyyy"></code></sup>
  • <sup id="2yyyy"></sup>
    <tr id="2yyyy"><blockquote id="2yyyy"></blockquote></tr>
  • 
    
  • <sup id="2yyyy"><code id="2yyyy"></code></sup>
  • <nav id="2yyyy"><cite id="2yyyy"></cite></nav>
  • <tfoot id="2yyyy"><dd id="2yyyy"></dd></tfoot>