<sup id="2yyyy"></sup>
  • <sup id="2yyyy"><code id="2yyyy"></code></sup>
  • <sup id="2yyyy"></sup>
    <tr id="2yyyy"><blockquote id="2yyyy"></blockquote></tr>
  • 
    
  • <sup id="2yyyy"><code id="2yyyy"></code></sup>
  • <nav id="2yyyy"><cite id="2yyyy"></cite></nav>
  • <tfoot id="2yyyy"><dd id="2yyyy"></dd></tfoot>
  • 免费a级毛片出奶水在线,18禁无遮拦无码国产在线播放 ,2020国产午夜福利久久,成年女人毛片免费观看中文

    Moldova yafanya uchaguzi wa rais, kura ya maoni ya kujiunga na?EU

    (Tovuti ya Gazeti la Umma) Oktoba 21, 2024

    Raia wa Moldova wanaoishi Romania wakiwa kwenye foleni kupiga kura nje ya kituo cha kupigia kura mjini Bucharest, Romania, Oktoba 20, 2024. (Picha na Cristian Cristel/Xinhua)

    Raia wa Moldova wanaoishi Romania wakiwa kwenye foleni kupiga kura nje ya kituo cha kupigia kura mjini Bucharest, Romania, Oktoba 20, 2024. (Picha na Cristian Cristel/Xinhua)

    BUCHAREST - Wapiga kura wa Moldova wamepiga kura jana Jumapili kwa ajili ya uchaguzi wa rais na kura ya maoni ya nchi hiyo kujiunga na Umoja wa Ulaya (EU) ambapo Tume Kuu ya Uchaguzi (CEC) ya Moldova imesema siki hiyo katika taarifa kwa vyombo vya habari kwamba vituo vya kupigia kura 2,219 vilifunguliwa kwa wapigakura ambao wanakadiriwa kufika milioni 3.3 kuanzia saa 1 Asubuhi (0400 GMT) hadi 3 usiku kwa saa za huko (1800 GMT).

    Uchaguzi huo unafuatiliwa na waangalizi 2,061, wakiwemo waangalizi wa kitaifa 1,277 na waangalizi 784 wa kimataifa, CEC imesema.

    Chini ya katiba ya nchi hiyo, mgombea lazima apate kura nyingi kwa zaidi ya nusu ya wapigakura wote ili kumwezesha kuchaguliwa kuwa rais; vinginevyo, wagombea wawili walio na kura nyingi zaidi wanaendelea na duru ya pili.

    Mbali na kuchagua rais, wapiga kura pia watapiga kura ya maoni kuhusu iwapo lengo la kujiunga na Umoja wa Ulaya linapaswa kuandikwa katika katiba ya nchi hiyo.

    "Kura yetu kwenye kura ya maoni ndiyo itakayoamua hatma yetu kwa miongo mingi ijayo," amesema Maia Sandu, rais aliyeko madarakani wa Moldova anayewania muhula wa pili madarakani.

    Tangu kuchaguliwa kwake Mwaka 2020, Sandu amekuwa akiiongoza Moldova kuelekea mshikamano zaidi na EU. Aliongoza nchi hiyo kufikia hadhi ya mwombaji wa uanachama wa EU Mwaka 2022. Mwezi Juni Mwaka 2024, mazungumzo rasmi ya kujiunga na EU yalianzishwa.

    Raia wa Moldova wanaoishi Romania wakipiga kura zao kwenye kituo cha kupigia kura mjini Bucharest, Romania, Oktoba 20, 2024. (Picha na Cristian Cristel/Xinhua)

    Raia wa Moldova wanaoishi Romania wakipiga kura zao kwenye kituo cha kupigia kura mjini Bucharest, Romania, Oktoba 20, 2024. (Picha na Cristian Cristel/Xinhua)

    (Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Deng Jie)

    Picha

    免费a级毛片出奶水在线
    <sup id="2yyyy"></sup>
  • <sup id="2yyyy"><code id="2yyyy"></code></sup>
  • <sup id="2yyyy"></sup>
    <tr id="2yyyy"><blockquote id="2yyyy"></blockquote></tr>
  • 
    
  • <sup id="2yyyy"><code id="2yyyy"></code></sup>
  • <nav id="2yyyy"><cite id="2yyyy"></cite></nav>
  • <tfoot id="2yyyy"><dd id="2yyyy"></dd></tfoot>