<sup id="2yyyy"></sup>
  • <sup id="2yyyy"><code id="2yyyy"></code></sup>
  • <sup id="2yyyy"></sup>
    <tr id="2yyyy"><blockquote id="2yyyy"></blockquote></tr>
  • 
    
  • <sup id="2yyyy"><code id="2yyyy"></code></sup>
  • <nav id="2yyyy"><cite id="2yyyy"></cite></nav>
  • <tfoot id="2yyyy"><dd id="2yyyy"></dd></tfoot>
  • 免费a级毛片出奶水在线,18禁无遮拦无码国产在线播放 ,2020国产午夜福利久久,成年女人毛片免费观看中文

    Viongozi wa Afrika wanaohutubia katika UNGA wapaza sauti juu ya hitaji la pamoja kwa nafasi zaidi ya maendeleo (2)

    (Tovuti ya Gazeti la Umma) Septemba 26, 2024
    Viongozi wa Afrika wanaohutubia katika UNGA wapaza sauti juu ya hitaji la pamoja kwa nafasi zaidi ya maendeleo
    Rais wa Liberia Joseph Boakai akitoa hotuba wakati wa Mjadala Mkuu wa mkutano wa 79 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA) kwenye makao makuu ya Umoja wa Mataifa mjini New York, Septemba 25, 2024. (Laura Jarriel/Picha za UN/ kupitia Xinhua)

    UMOJA WA MATAIFA - Wakuu wa nchi na serikali za Afrika Jumatano walihutubia Mjadala Mkuu wa mkutano wa 79 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, wakielezea hitaji la pamoja kwamba nchi zao ziendelee kwa kasi na salama katika njia za maendeleo bora huku wakitarajia chombo hicho cha dunia kutoacha jitihada zozote za kusaidia nchi hizo kushinda vikwazo vya sasa na kujiandaa vyema kwa siku za baadaye.

    Rais wa Ghana Nana Akufo-Addo amesema kuwa "Afrika si bara la kukosa matumaini. Limejaa uwezekano mkubwa wa kifursa. Hata hivyo, linatakiwa kupanga njia mpya ya maendeleo. Vijana wetu wamejaa nguvu, ubunifu na matamanio makubwa... Watu wa Afrika hawaombi takrima -- wanadai fursa katika muundo mpya wa kimataifa ili waweze kupata elimu, huduma za afya na kazi, ili waweze kujenga maisha bora kwa ajili yao, familia zao na vizazi vyao. "

    Rais wa Liberia Joseph Boakai amesema kuwa uchu wa asili, kutokuwa na hisia kwa maskini, janga la kimataifa la dawa za kulevya, utakatishaji fedha, mienendo ya mabadiliko ya tabianchi na athari za mitandao ya kijamii "lazima vitulazimishe kutafakari upya mtazamo wetu wa amani na usalama duniani."

    Kwa utambuzi na udharura wa mageuzi makubwa ya kimataifa kama msingi wa Mkataba wa Siku za Baadaye ambao umepitishwa Jumapili kwenye Mkutano wa Siku za Baadaye, nchi wanachama wa chombo hicho cha dunia zinajitahidi kujenga upya imani katika mfumo wa ushirikiano wa pande nyingi na mahitaji halali ya kutambuliwa kama washirika sawa, amesema Rais wa Namibia Nangolo Mbumba.

    Philemon Yang, rais wa mkutano wa 79 wa UNGA, aliiambia hafla ya ufunguzi wa Mjadala Mkuu siku ya Jumanne kwamba "hiki kitakuwa kipaumbele cha urais wangu. Afrika ni mojawapo ya vipaumbele vya Umoja wa Mataifa. Ni lazima tuiunge mkono Afrika."

    "Tunapaswa kutoacha uwezo wa Afrika upotee. Kwa uhalisia, ili kufungua uwezo mkubwa wa Afrika, ni lazima tuongeze ushirikiano wa kimataifa ambao unaendana na matarajio ya bara hili na kuendesha mafanikio yake," amebainisha.

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres, akionyesha kujali mabadiliko ya kimataifa, ameonya kwa baraza hilo kwamba "hali ya hatari inaweza kukumba dunia," huku akitoa wito kwa viongozi wa nchi, wakiwemo wale kutoka Afrika, kujumuika pamoja kutafuta suluhu.

    (Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)

    Picha

    免费a级毛片出奶水在线
    <sup id="2yyyy"></sup>
  • <sup id="2yyyy"><code id="2yyyy"></code></sup>
  • <sup id="2yyyy"></sup>
    <tr id="2yyyy"><blockquote id="2yyyy"></blockquote></tr>
  • 
    
  • <sup id="2yyyy"><code id="2yyyy"></code></sup>
  • <nav id="2yyyy"><cite id="2yyyy"></cite></nav>
  • <tfoot id="2yyyy"><dd id="2yyyy"></dd></tfoot>